1Bwana anatawala,
2Bwana ni mkuu katika Sayuni;
3Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:
4Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,
5Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,
6Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,
7Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;
8Ee Bwana, wetu,
9Mtukuzeni Bwana Mungu wetu,