1Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2Mwabuduni Bwana kwa furaha;
3Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
5Kwa maana Bwana ni mwema
Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli
1Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2Mwabuduni Bwana kwa furaha;
3Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu.
4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani
5Kwa maana Bwana ni mwema