1Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;
2Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:
3Sitaweka mbele ya macho yangu
4Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;
5Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,
6Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,
7Mdanganyifu hatakaa
8Kila asubuhi nitawanyamazisha