1Ee Bwana, usikie maombi yangu,
2Usinifiche uso wako
3Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,
4Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,
5Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,
6Nimekuwa kama bundi wa jangwani,
7Nilalapo sipati usingizi,
8Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,
9Ninakula majivu kama chakula changu
10kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,
11Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,
12Lakini wewe, Ee Bwana, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,
13Utainuka na kuihurumia Sayuni,
14Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,
15Mataifa wataogopa jina la Bwana,
16Kwa maana Bwana ataijenga tena Sayuni
17Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,
18Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,
19“Bwana alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,
20kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa
21Kwa hiyo jina la Bwana latangazwa huko Sayuni
22wakati mataifa na falme zitakapokusanyika
23Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,
24Ndipo niliposema:
25Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,
26Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,
27Lakini wewe, U yeye yule,
28Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;