1Mwimbieni Bwana wimbo mpya,
2Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane
3Ameukumbuka upendo wake
4Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote,
5mwimbieni Bwana kwa kinubi,
6kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:
7Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,
8Mito na ipige makofi,
9vyote na viimbe mbele za Bwana,