1Bwana anatawala, amejivika utukufu;
2Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani;
3Bahari zimeinua, Ee Bwana,
4Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu,
5Ee Bwana, sheria zako ni imara;
Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli
1Bwana anatawala, amejivika utukufu;
2Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani;
3Bahari zimeinua, Ee Bwana,
4Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu,
5Ee Bwana, sheria zako ni imara;