We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 91

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 90 Zaburi Zaburi 92 →

1Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

2Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

3Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

4Atakufunika kwa manyoya yake,

5Hutaogopa vitisho vya usiku,

6wala maradhi ya kuambukiza

7Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

8Utatazama tu kwa macho yako

9Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

10basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

11Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

12Mikononi mwao watakuinua,

13Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

14Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

15Ataniita, nami nitamjibu;

16Kwa siku nyingi nitamshibisha

← Zaburi 90 Zaburi Zaburi 92 →