1Bwana, wewe umekuwa makao yetu
2Kabla ya kuzaliwa milima
3Huwarudisha watu mavumbini,
4Kwa maana kwako miaka elfu
5Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,
6ingawa asubuhi yanachipua,
7Tumeangamizwa kwa hasira yako
8Umeyaweka maovu yetu mbele yako,
9Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,
10Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,
11Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?
12Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,
13Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini?
14Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,
15Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,
16Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,
17Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu;