1Ee Bwana, Mungu uniokoaye,
2Maombi yangu yafike mbele zako,
3Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,
4Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,
5Nimetengwa pamoja na wafu,
6Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,
7Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,
8Umenitenga na rafiki zangu wa karibu
9nuru ya macho yangu
10Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?
11Je, upendo wako hutangazwa kaburini,
12Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,
13Lakini ninakulilia wewe, Ee Bwana, unisaidie;
14Ee Bwana, kwa nini unanikataa
15Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;
16Ghadhabu yako imepita juu yangu;
17Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;
18Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;