1Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2Bwana anayapenda malango ya Sayuni
3Mambo matukufu yanasemwa juu yako,
4“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu87:4 Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri. na Babeli
5Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,
6Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
7Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,