1Mungu anaongoza kusanyiko kuu,
2“Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki
3Teteeni wanyonge na yatima,
4Mwokoeni mnyonge na mhitaji,
5“Hawajui lolote, hawaelewi lolote.
6“Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;
7Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;
8Ee Mungu, inuka uihukumu nchi,