1Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,
2Wametoa maiti za watumishi
3Wamemwaga damu kama maji
4Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,
5Hata lini, Ee Bwana? Je, wewe utakasirika milele?
6Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,
7kwa maana wamemrarua Yakobo
8Usituhesabie dhambi za baba zetu,
9Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,
10Kwa nini mataifa waseme,
11Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;
12Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao
13Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,