1Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;
2Ewe usikiaye maombi,
3Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,
4Heri wale uliowachagua
5Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,
6uliyeumba milima kwa uwezo wako,
7uliyenyamazisha dhoruba za bahari,
8Wale wanaoishi mbali sana
9Waitunza nchi na kuinyeshea,
10Umeilowesha mifereji yake
11Umeuvika mwaka taji ya baraka,
12Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;
13Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,