1Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!
2Imbeni utukufu wa jina lake;
3Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!
4Dunia yote yakusujudia,
5Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,
6Alifanya bahari kuwa nchi kavu,
7Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,
8Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,
9ameyahifadhi maisha yetu
10Ee Mungu, wewe ulitujaribu,
11Umetuingiza kwenye nyavu
12Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,
13Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa
14nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi
15Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono
16Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,
17Nilimlilia kwa kinywa changu,
18Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,
19lakini hakika Mungu amenisikiliza
20Sifa apewe Mungu,