1Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,
2Nimekuona katika mahali patakatifu
3Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,
4Nitakusifu siku zote za maisha yangu,
5Nafsi yangu itatoshelezwa
6Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,
7Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,
8Nafsi yangu inaambatana nawe,
9Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,
10Watatolewa wafe kwa upanga,
11Bali mfalme atafurahi katika Mungu,