We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 62

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 61 Zaburi Zaburi 63 →

1Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

2Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

3Mtamshambulia mtu hata lini?

4Walikusudia kikamilifu kumwangusha

5Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

7Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

8Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

9Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

10Usitumainie vya udhalimu

11Jambo moja Mungu amelisema,

12na kwamba, Ee Bwana,

← Zaburi 61 Zaburi Zaburi 63 →