1Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;
2Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
3Mtamshambulia mtu hata lini?
4Walikusudia kikamilifu kumwangusha
5Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,
6Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;
7Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,
8Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,
9Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,
10Usitumainie vya udhalimu
11Jambo moja Mungu amelisema,
12na kwamba, Ee Bwana,