1Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;
2Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,
3Wakati ninapoogopa,
4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
5Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,
6Wananifanyia hila, wanajificha,
7Wasiepuke kwa vyovyote,
8Andika maombolezo yangu,
9Ndipo adui zangu watarudi nyuma
10Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
11katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.
12Ee Mungu, nina nadhiri kwako,
13Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti