1Ee Mungu, unihurumie,
2Unioshe na uovu wangu wote
3Kwa maana ninajua makosa yangu,
4Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi
5Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,
6Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,
7Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,
8Unipe kusikia furaha na shangwe,
9Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,
10Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
11Usinitupe kutoka mbele zako
12Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,
13Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,
14Ee Mungu, Mungu uniokoaye,
15Ee Bwana, fungua midomo yangu,
16Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,
17Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,
18Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,
19Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,