1Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana,
2Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,
3Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,
4Anaziita mbingu zilizo juu,
5“Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,
6Nazo mbingu zinatangaza haki yake,
7“Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,
8Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,
9Sina haja ya fahali wa banda lako,
10Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,
11Ninamjua kila ndege mlimani,
12Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,
13Je, mimi hula nyama ya mafahali
14Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,
15na uniite siku ya taabu;
16Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:
17Unachukia mafundisho yangu
18Unapomwona mwizi, unaungana naye,
19Unakitumia kinywa chako kwa mabaya
20Wanena daima dhidi ya ndugu yako
21Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,
22“Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,
23Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,