1Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?
2Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.
3Unapenda mabaya kuliko mema,
4Unapenda kila neno lenye kudhuru,
5Hakika Mungu atakushusha chini
6Wenye haki wataona na kuogopa,
7“Huyu ni yule mtu ambaye
8Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni
9Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,