1Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,
2Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana,
3Mungu yuko katika ngome zake;
4Wakati wafalme walipounganisha nguvu,
5walimwona nao wakashangaa,
6Kutetemeka kuliwashika huko,
7Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi
8Kama tulivyokuwa tumesikia,
9Ee Mungu, hekaluni mwako
10Ee Mungu, kama jina lako lilivyo,
11Mlima Sayuni unashangilia,
12Tembeeni katika Sayuni,
13yatafakarini vyema maboma yake,
14Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele;