1Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema
2Wewe ni bora kuliko watu wengine wote
3Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu,
4Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi,
5Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme,
6Ee Mungu, kiti chako cha enzi
7Unaipenda haki na kuchukia uovu;
8Mavazi yako yote yana harufu nzuri
9Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa;
10Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio:
11Mfalme ameshangazwa na uzuri wako;
12Binti wa Tiro atakuletea zawadi,
13Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake;
14Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa,
15Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha,
16Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu,
17Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote,