We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 44

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 43 Zaburi Zaburi 45 →

1Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

2Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa

3Sio kwa upanga wao waliipata nchi,

4Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,

5Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu;

6Siutumaini upinde wangu,

7bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,

8Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,

9Lakini sasa umetukataa na kutudhili,

10Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui,

11Umetuacha tutafunwe kama kondoo

12Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,

13Umetufanya lawama kwa jirani zetu,

14Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa,

15Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,

16kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana,

17Hayo yote yametutokea,

18Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma;

19Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha,

20Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu

21je, Mungu hangaligundua hili,

22Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;

23Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala?

24Kwa nini unauficha uso wako

25Tumeshushwa hadi mavumbini,

26Inuka na utusaidie,

← Zaburi 43 Zaburi Zaburi 45 →