1Heri mtu yule anayemjali mnyonge,
2Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,
3Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,
4Nilisema, “Ee Bwana nihurumie,
5Adui zangu wanasema kwa hila,
6Kila anapokuja mtu kunitazama,
7Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,
8“Ugonjwa mbaya sana umempata,
9Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,
10Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie,
11Najua kwamba wapendezwa nami,
12Katika uadilifu wangu unanitegemeza
13Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli,