1Nilimngoja Bwana kwa saburi,
2Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,
3Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,
4Heri mtu yule amfanyaye Bwana kuwa tumaini lake,
5Ee Bwana Mungu wangu,
6Dhabihu na sadaka hukuvitaka,
7Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:
8Ee Mungu wangu,
9Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,
10Sikuficha haki yako moyoni mwangu;
11Ee Bwana, usizuilie huruma zako,
12Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,
13Ee Bwana, uwe radhi kuniokoa;
14Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,
15Wale waniambiao, “Aha! Aha!”
16Lakini wote wakutafutao
17Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;