We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 42

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 41 Zaburi Zaburi 43 →

1Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

2Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

3Machozi yangu yamekuwa chakula changu

4Mambo haya nayakumbuka

5Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

6Mungu wangu.

7Kilindi huita kilindi,

8Mchana Bwana huelekeza upendo wake,

9Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

10Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

11Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

← Zaburi 41 Zaburi Zaburi 43 →