1Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,
2Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.
3Machozi yangu yamekuwa chakula changu
4Mambo haya nayakumbuka
5Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?
6Mungu wangu.
7Kilindi huita kilindi,
8Mchana Bwana huelekeza upendo wake,
9Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,
10Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali
11Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?