We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 38

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 37 Zaburi Zaburi 39 →

1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,

2Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

3Hakuna afya mwilini mwangu

4Maovu yangu yamenifunika

5Majeraha yangu yameoza na yananuka,

6Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

7Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

8Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

9Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku

10Moyo wangu unapigapiga,

11Rafiki na wenzangu wananikwepa

12Wale wanaotafuta uhai wangu

13Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

14nimekuwa kama mtu asiyesikia,

15Ee Bwana, ninakungojea wewe,

16Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

17Kwa maana ninakaribia kuanguka,

18Naungama uovu wangu,

19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

20Wanaolipa maovu kwa wema wangu

21Ee Bwana, usiniache,

22Ee Bwana Mwokozi wangu,

← Zaburi 37 Zaburi Zaburi 39 →