1Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako,
2Kwa kuwa mishale yako imenichoma,
3Hakuna afya mwilini mwangu
4Maovu yangu yamenifunika
5Majeraha yangu yameoza na yananuka,
6Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,
7Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,
8Nimedhoofika na kupondwa kabisa,
9Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku
10Moyo wangu unapigapiga,
11Rafiki na wenzangu wananikwepa
12Wale wanaotafuta uhai wangu
13Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,
14nimekuwa kama mtu asiyesikia,
15Ee Bwana, ninakungojea wewe,
16Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,
17Kwa maana ninakaribia kuanguka,
18Naungama uovu wangu,
19Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,
20Wanaolipa maovu kwa wema wangu
21Ee Bwana, usiniache,
22Ee Bwana Mwokozi wangu,