1Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,
2kwa maana kama majani watanyauka mara,
3Mtumaini Bwana na utende yaliyo mema;
4Jifurahishe katika Bwana
5Mkabidhi Bwana njia yako,
6Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,
7Tulia mbele za Bwana
8Epuka hasira na uache ghadhabu,
9Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,
10Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,
11Bali wanyenyekevu watairithi nchi
12Waovu hula njama dhidi ya wenye haki
13bali Bwana huwacheka waovu,
14Waovu huchomoa upanga
15Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,
16Bora kidogo walicho nacho wenye haki
17kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,
18Bwana anazifahamu siku za wanyofu,
19Siku za maafa hawatanyauka,
20Lakini waovu wataangamia:
21Waovu hukopa na hawalipi,
22Wale wanaobarikiwa na Bwana watairithi nchi,
23Kama Bwana akipendezwa na njia ya mtu,
24ajapojikwaa, hataanguka,
25Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,
26Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.
27Acha ubaya na utende wema,
28Kwa kuwa Bwana huwapenda wenye haki
29Wenye haki watairithi nchi,
30Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,
31Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;
32Watu waovu huvizia wenye haki,
33lakini Bwana hatawaacha mikononi mwao
34Mngojee Bwana,
35Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi
36lakini alitoweka mara na hakuonekana,
37Watafakari watu wasio na hatia,
38Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,
39Wokovu wa wenye haki hutoka kwa Bwana,
40Bwana huwasaidia na kuwaokoa,