1Kuna neno moyoni mwangu
2Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno
3Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,
4Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,
5Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni,
6Haki yako ni kama milima mikubwa,
7Upendo wako usiokoma
8Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,
9Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,
10Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,
11Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,
12Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: