1Ee Bwana, pingana na wale wanaopingana nami,
2Chukua ngao na kigao.
3Inua mkuki wako na fumo35:3 Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi. lako
4Wafedheheshwe na waaibishwe
5Wawe kama makapi yapeperushwayo na upepo,
6Njia yao na iwe giza na ya utelezi,
7Kwa vile walinifichia wavu wao bila sababu,
8maafa na yawapate ghafula:
9Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana
10Nitapaza sauti yangu nikisema,
11Mashahidi wakatili wanainuka,
12Wananilipa baya kwa jema
13Lakini walipokuwa wagonjwa, nilivaa nguo ya gunia
14niliendelea kuomboleza
15Lakini nilipojikwaa,
16Kama watu wasiomcha Mungu, wamenidhihaki,
17Ee Bwana, utatazama mpaka lini?
18Nami nitakushukuru mbele ya kusanyiko kubwa,
19Usiwaache wale wanaonisimanga,
20Hawazungumzi kwa amani,
21Hunifumbulia vinywa vyao wakisema, “Aha! Aha!
22Ee Bwana, umeona hili, usiwe kimya.
23Amka, inuka unitetee!
24Nihukumu kwa haki yako, Ee Bwana Mungu wangu,
25Usiwaache wafikiri, “Aha, hili ndilo tulilotaka!”
26Wote wanaofurahia dhiki yangu
27Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki
28Ulimi wangu utanena haki yako