We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 34

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 33 Zaburi Zaburi 35 →

1Nitamtukuza Bwana nyakati zote,

2Nafsi yangu itajisifu katika Bwana,

3Mtukuzeni Bwana pamoja nami,

4Nilimtafuta Bwana naye akanijibu,

5Wale wamtazamao hutiwa nuru,

6Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia,

7Malaika wa Bwana hufanya kituo

8Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,

9Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,

10Wana simba wenye nguvu

11Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

12Yeyote kati yenu anayependa uzima

13basi auzuie ulimi wake na mabaya,

14Aache uovu, atende mema,

15Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki,

16Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu,

17Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia,

18Bwana yu karibu na waliovunjika moyo,

19Mwenye haki ana mateso mengi,

20huhifadhi mifupa yake yote,

21Ubaya utamuua mtu mwovu,

22Bwana huwakomboa watumishi wake,

← Zaburi 33 Zaburi Zaburi 35 →