1Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,
2Heri mtu yule ambaye Bwana
3Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa
4Usiku na mchana
5Kisha nilikujulisha dhambi yangu
6Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe
7Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,
8Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;
9Usiwe kama farasi au nyumbu
10Mtu mwovu ana taabu nyingi,
11Shangilieni katika Bwana na mfurahi, enyi wenye haki!