1Ee Bwana, nimekukimbilia wewe,
2Nitegee sikio lako,
3Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu,
4Uniepushe na mtego niliotegewa,
5Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako,
6Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili;
7Nitafurahia na kushangilia upendo wako,
8Hukunikabidhi kwa adui yangu
9Ee Bwana unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;
10Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi,
11Kwa sababu ya adui zangu wote,
12Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa,
13Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi;
14Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana;
15Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako,
16Mwangazie mtumishi wako uso wako,
17Usiniache niaibike, Ee Bwana,
18Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe,
19Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,
20Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako
21Atukuzwe Bwana,
22Katika hofu yangu nilisema,
23Mpendeni Bwana ninyi watakatifu wake wote!
24Kuweni hodari na mjipe moyo,