1Nitakutukuza wewe, Ee Bwana,
2Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie
3Ee Bwana, umenitoa Kuzimu,
4Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake;
5Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,
6Nilipofanikiwa nilisema,
7Ee Bwana, uliponijalia,
8Kwako wewe, Ee Bwana, niliita,
9“Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?
10Ee Bwana, unisikie na kunihurumia,
11Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,
12ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.