1Mpeni Bwana, enyi mashujaa,
2Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake;
3Sauti ya Bwana iko juu ya maji;
4Sauti ya Bwana ina nguvu;
5Sauti ya Bwana huvunja mierezi;
6Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,
7Sauti ya Bwana hupiga kwa miali
8Sauti ya Bwana hutikisa jangwa;
9Sauti ya Bwana huzalisha ayala,
10Bwana huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;
11Bwana huwapa watu wake nguvu;