1Ninakuita wewe, Ee Bwana, Mwamba wangu;
2Sikia kilio changu unihurumie
3Usiniburute pamoja na waovu,
4Walipe sawasawa na matendo yao,
5Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana,
6Bwana asifiwe,
7Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu,
8Bwana ni nguvu ya watu wake,
9Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;