1Msifuni Bwana.
2Israeli na washangilie katika Muumba wao,
3Na walisifu jina lake kwa kucheza
4Kwa maana Bwana anapendezwa na watu wake,
5Watakatifu washangilie katika heshima hii,
6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao
7ili walipize mataifa kisasi
8wawafunge wafalme wao kwa minyororo,
9ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.