1Msifuni Bwana.
2Msifuni kwa matendo yake makuu,
3Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
4msifuni kwa matari na kucheza,
5msifuni kwa matoazi yaliayo,
6Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.
Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli
1Msifuni Bwana.
2Msifuni kwa matendo yake makuu,
3Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,
4msifuni kwa matari na kucheza,
5msifuni kwa matoazi yaliayo,
6Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana.