1Msifuni Bwana!146:1 Msifuni Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
2Nitamsifu Bwana maisha yangu yote;
3Usiweke tumaini lako kwa wakuu,
4Roho yao itokapo hurudi mavumbini,
5Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,
6Muumba wa mbingu na nchi,
7Naye huwapatia haki walioonewa
8Bwana huwafumbua vipofu macho,
9Bwana huwalinda wageni
10Bwana atamiliki milele,