1Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,
2Kila siku nitakusifu
3Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,
4Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,
5Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,
6Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,
7Wataadhimisha wema wako mwingi,
8Bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma,
9Bwana ni mwema kwa wote,
10Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu,
11Watasimulia utukufu wa ufalme wako
12ili watu wote wajue matendo yako makuu
13Ufalme wako ni ufalme wa milele,
14Bwana huwategemeza wote waangukao,
15Macho yao wote yanakutazama wewe,
16Waufumbua mkono wako,
17Bwana ni mwenye haki katika njia zake zote,
18Bwana yu karibu na wote wamwitao,
19Huwatimizia wamchao matakwa yao,
20Bwana huwalinda wote wampendao,
21Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana.