1Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu,
2Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,
3Ee Bwana, mwanadamu ni nini hata umjali,
4Mwanadamu ni kama pumzi,
5Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke,
6Peleka umeme uwatawanye adui,
7Nyoosha mkono wako kutoka juu,
8ambao vinywa vyao vimejaa uongo,
9Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,
10kwa Yule awapaye wafalme ushindi,
11Nikomboe na uniokoe
12Kisha wana wetu wakati wa ujana wao
13Ghala zetu zitajazwa
14maksai wetu watakokota
15Heri watu ambao hili ni kweli;