We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 144

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 143 Zaburi Zaburi 145 →

1Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu,

2Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,

3Ee Bwana, mwanadamu ni nini hata umjali,

4Mwanadamu ni kama pumzi,

5Ee Bwana, pasua mbingu zako, ushuke,

6Peleka umeme uwatawanye adui,

7Nyoosha mkono wako kutoka juu,

8ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

9Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,

10kwa Yule awapaye wafalme ushindi,

11Nikomboe na uniokoe

12Kisha wana wetu wakati wa ujana wao

13Ghala zetu zitajazwa

14maksai wetu watakokota

15Heri watu ambao hili ni kweli;

← Zaburi 143 Zaburi Zaburi 145 →