1Ee Bwana, niokoe, kutoka kwa watu waovu;
2ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,
3Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,
4Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu;
5Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,
6Ee Bwana, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”
7Ee Bwana Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,
8Ee Bwana, usiwape waovu matakwa yao,
9Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe
10Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!
11Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;
12Najua kwamba Bwana huwapatia maskini haki,
13Hakika wenye haki watalisifu jina lako,