We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 141

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 140 Zaburi Zaburi 142 →

1Ee Bwana, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

2Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

3Ee Bwana, weka mlinzi kinywani mwangu,

4Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

5Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

6watawala wao watatupwa chini

7Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

8Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mwenyezi,

9Niepushe na mitego waliyonitegea,

10Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

← Zaburi 140 Zaburi Zaburi 142 →