1Ee Bwana, umenichunguza
2Unajua ninapoketi na ninapoinuka;
3Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;
4Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,
5Umenizunguka nyuma na mbele;
6Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,
7Niende wapi nijiepushe na Roho yako?
8Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;
9Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,
10hata huko mkono wako utaniongoza,
11Kama nikisema, “Hakika giza litanificha
12hata giza halitakuwa giza kwako,
13Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;
14Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa
15Umbile langu halikufichika kwako,
16macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.
17Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!
18Kama ningezihesabu,
19Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!
20Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,
21Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia?
22Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,
23Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,
24Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,