1Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote,
2Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu,
3Nilipoita, ulinijibu;
4Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee Bwana,
5Wao na waimbe kuhusu njia za Bwana,
6Ingawa Bwana yuko juu,
7Nijapopita katikati ya shida,
8Bwana atatimiza kusudi lake kwangu,