We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 115

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 114 Zaburi Zaburi 116 →

1Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi,

2Kwa nini mataifa waseme,

3Mungu wetu yuko mbinguni,

4Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,

5Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

6zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

7zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,

8Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

9Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana,

10Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana,

11Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana,

12Bwana anatukumbuka na atatubariki:

13atawabariki wale wanaomcha Bwana,

14Bwana na awawezeshe kuongezeka,

15Mbarikiwe na Bwana

16Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana,

17Sio wafu wanaomsifu Bwana,

18bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,

← Zaburi 114 Zaburi Zaburi 116 →