1Wakati Israeli walipotoka Misri,
2Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,
3Bahari ilitazama ikakimbia,
4milima ilirukaruka kama kondoo dume,
5Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,
6enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,
7Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,
8aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,