1Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
2Kwa sababu amenitegea sikio lake,
3Kamba za mauti zilinizunguka,
4Ndipo nikaliitia jina la Bwana:
5Bwana ni mwenye neema na haki,
6Bwana huwalinda wanyenyekevu,
7Ee nafsi yangu, tulia tena,
8Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,
9ili niweze kutembea mbele za Bwana,
10Niliamini, kwa hiyo nilisema,
11Katika taabu yangu nilisema,
12Nimrudishie Bwana nini
13Nitakiinua kikombe cha wokovu
14Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
15Kifo cha watakatifu kina thamani
16Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,
17Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru
18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana
19katika nyua za nyumba ya Bwana,