We Believe JesusFé, Esperança e Nova Vida

Zaburi 116

Biblica® Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu™ · suaíli

← Zaburi 115 Zaburi Zaburi 117 →

1Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;

2Kwa sababu amenitegea sikio lake,

3Kamba za mauti zilinizunguka,

4Ndipo nikaliitia jina la Bwana:

5Bwana ni mwenye neema na haki,

6Bwana huwalinda wanyenyekevu,

7Ee nafsi yangu, tulia tena,

8Kwa kuwa wewe, Ee Bwana,

9ili niweze kutembea mbele za Bwana,

10Niliamini, kwa hiyo nilisema,

11Katika taabu yangu nilisema,

12Nimrudishie Bwana nini

13Nitakiinua kikombe cha wokovu

14Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

15Kifo cha watakatifu kina thamani

16Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako,

17Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana

19katika nyua za nyumba ya Bwana,

← Zaburi 115 Zaburi Zaburi 117 →