1Msifuni Bwana.
2Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,
3Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,
4Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,
5Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,
6Hakika hatatikisika kamwe,
7Hataogopa habari mbaya,
8Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,
9Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;
10Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,