1Msifuni Bwana.
2Kazi za Bwana ni kuu,
3Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,
4Amefanya maajabu yake yakumbukwe,
5Huwapa chakula wale wanaomcha,
6Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,
7Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,
8Zinadumu milele na milele,
9Aliwapa watu wake ukombozi,
10Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima,